Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manchester United yafanya usajili wa kwanza

Jumanne , 5th Jul , 2022

Klabu ya Manchester United imekamilisha na kutangaza usajili wa beki wa kushoto Tyrell Malacia kutoka klabu ya Feyenoord ya Uholanzi kwa ada ya uhamisho iya pauni milioni 12 zaidi ya Bilioni 33 kwa pesa za kitanzania amesaini mkataba wa miaka 4.

Tyrell Malacia amejiunga na Manchester United kwa mkataba wa miaka 4

Taarifa ya Manchester united juu ya usajili wa beki huyu raia wa Uholanzi mwenye umri wa miaka 22 imesema.

''Manchester United tunapenda kuthibitisha kwamba Tyrell Malacia amejiunga na klabu yetu, na amesaini mkataba hadi Juni 2026 na chaguo la kuongeza mwaka mmoja zaidi.’’ Imesema taarifa ya Manchester United

Malacia anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa Manchester United chini ya kocha mpya wa klabu hiyo Erik Ten Hag na anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi kitakacho safari siku ya Ijumaa kuelekea nchini Thailand na Australia ambako klabu hiyo itaweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya (Pre-season).

Kwa upande mwingine mchezaji mwenye amefurahishwa kujiunga na Manchester United.

''Ni hisia ya tofauti sana kujiunga na Manchester United. Huu ni ikurasa mpya kwangu, Ligi mpya na wachezaji wenza wapya na kocha mzuri anayetuongoza. Namjua kutokana na kucheza dhidi ya timu yake kwenye Eredivisie (Ligi kuu Uholanzi), sifa alizonazo na kile anachokitaka kutoka kwa wachezaji wake.’’Amesema Malacia

Malacia ameichezea Feyenoord jumla ya michezo 136 katika misimu 5 na amefunnga mabao 4, lakini pia ameichezea timu ya taifa ya Uholanzi jumla ya michezo 5 kati ya mwaka 2021 mpaka 2022.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa