Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Mapato ya mlangoni hayaridhishi'' - Ahmedy

Ijumaa , 30th Sep , 2022

Msemaji wa Simba kupitia akaunti yake ya Instagram amesema moja ya tatizo ambalo wanapaswa kulitatua ni mashabiki wa timu hiyo kutoenda uwanjani kwenye mechi zao za nyumbani

Ally amesema idadi ya mashabiki wanaoingia uwanjani kwenye mechi zao za nyumbani ni ndogo.

"Wengi tunaenda uwanjani kutokana na ukubwa wa mechi au ukubwa wa mashindano ndo maana ni rahisi kujaza uwanja kwenye derby au mechi za kimataifa," amesema Ally na kuongeza;

"Ukienda Old Trafford mechi ya Manchester na Arsenal inajaza uwanja na mechi Manchester na Watford inajaza uwanja hapa mashabiki hawafuati mpinzani wanaifuata timu yao na hiki ndo kilio changu,"

Ally ametolea mfano mechi ya dhidi ya Geita Gold timu hiyo ilipata mapato ya Sh14 milioni tu.

"Ni pesa ndogo mnoo kwenye mpira wa miguu. Kama tunaingiza Sh14 milioni, kwa mechi 14 za nyumbani tutavuna Sh210 milioni  ambayo haitoshi hata mishahara ya mwezi mmoja. Ni rahisi kumsikia mtu anasema kama hamna pesa ya usajili semeni tuchange,"

Ally amesema kuchangishana sio njia ya kudumu ya kuendesha klabu, njia ya sahihi klabu kupata fedha ni mapato ya mlangoni na yanapatikana kwa sisi mashabiki kuja kwa wingi mechi za nyumbani.

Simba itacheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Dodoma Jiji Jumapili saa 1:00 usiku

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali