Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Marais wawili walivyoondolewa madarakani

Jumanne , 2nd Mar , 2021

Ndani ya miaka 10, marais wawili wa klabu ya soka ya Barcelona ya Hispania, Sandro Rosell na Jose Maria Bartomeu hawajamaliza awamu zao za uongozi. Wameondolewa madarakani kwa shinikizo na kisha kushtakiwa.

Jose Maria Bartomeu (kushoto) na Sandro Rosell (kulia)

Mwaka 2010 mfanyabiashara Sandro Rosell, aliingia madarakani lakini mwaka 2014 akaondolewa kwa shinikizo na kulazimika kujiuzulu na baadaye alishtakiwa na kufungwa jela lakini baadaye aliachiwa huru.

Alituhumiwa kwa matumizi mabaya ya pesa na madaraka, lakini pia utakatishaji wa fedha zaidi ya €20 million, ikiwemo usajili wa Neymar Jr kutoka Santos.

Sandro Rosell

Mwaka huo 2014 aliyekuwa Makamu wake wa Rais Jose Maria Bartomeu, akashika hatamu hadi Oktoba 2020, ambapo alilazimika kujiuzulu kwa shinikizo huku akikumbana na tuhuma mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya pesa pamoja na madaraka.

Jana Machi 1, 2021 amekamatwa na atafunguliwa mashtaka ambayo kwa kiasi kikubwa yanatajwa ni kuajiri watu wa mitandao kwaajili ya kuwachafua wachezaji wa zamani na wasasa pamoja na viongozi waliokuwa wanapinga utawala wake.

Jose Maria Bartomeu

Uchaguzi wa Barcelona utafanyika Machi 7, 2021 na wagombea watatu wenye nguvu ni Rais wa zamani wa klabu hiyo Joan Raporta, Wafanyabiashara Victor Font na Toni Freixa.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali