Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashabiki Simba wapewa utaratibu wa kushangilia

Ijumaa , 24th Mei , 2019

Klabu ya soka ya Simba, imetoa utaratibu wa jinsi mashabiki wake watashangilia kombe lao kesho Mei 25, 2019, baada ya kukabidhiwa kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.

Mashabiki wa Simba mkoani Singida wakishangilia

Akiongea leo Mei 24, 2019, msemaji wa timu hiyo Haji Manara, amesema mashabiki wanatakiwa kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo dhidi ya Biashara Mara utakaoanza majira ya saa 9:00 mchana kwani kiingilio kimepunguzwa.

''Tumepunguza kiingilio kutoka 5000/= hadi 3000/= ili mashabiki wote waje kushuhudia timu yao ikikabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi kuu msimu wa 2018/19'', amesema.

Aidha Manara amebainisha kuwa kwa kuzingatia huu ni mwezi mtukufu na mashabiki wa Simba ambao wamefunga ndio maana wakaomba mchezo huo uanze mapema ili wawahi kurudi na kufuturu.

Zaidi kuhusu barabara watakazopita kwenye basi maalumu wakiwa na kombe lao, msikilize Manara hapo chini akifafanua.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali