Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Matola aongelea usajili

Jumatano , 15th Nov , 2017

Kocha wa klabu ya Lipuli FC Suleiman Matola amesema tayari ameshawasilisha kwa uongozi mahitaji ya wachezaji anaowahitaji kwenye dirisha dogo la usajili.

Matola amesema kikosi chake kina mapungufu kwenye safu ya ushambulijai hivyo ni lazima afanye usajili kwenye dirisha dogo ili kuboresha timu yake kwaajili mwendelezo wa michezo ya ligi kuu.

Kwa upande wa idadi ya wachezaji Matola ameeleza kuwa anahitaji wachezaji wanne ili kukamilisha mipango yake ya kupata matokeo mazuri.

“Timu yangu inahitaji wachezaji wanne wakiwemo washambuliaji eneo ambalo mimi naona bado lina upungufu lakini pia maeneo mengine ikiwemo kiungo na ulinzi”, amesema Matola.

Matola amesema ana matumaini kuwa mapendekezo yake yatafanyiwa kazi mapema na uongozi wa klabu hiyo ambayo imepanda daraja msimu huu. Lipuli FC inashika nafasi ya 7 ikiwa na alama 14.

Dirisha dogo la usajili kwa vilabu vya ligi kuu Tanzania Bara limefunguliwa rasmi leo Novemba 15 na litadumu kwa kipindi kifupi cha mwezi mmoja kabla ya kufungwa Desemba 15 mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali