Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbeya City yaiendea chimbo Yanga

Jumatano , 15th Nov , 2017

Klabu ya  ya Mbeya City inayoshirki ligi kuu soka Tanzania bara leo inatarajia kushuka dimbani kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Coastal Union kwenye uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

Meneja wa Mbeya City, Geoffrey Katepa amesema mchezo wa leo ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Yanga kwenye uwanja wa Uhuru jiji Dar es salaam.

Katepa ameeleza kuwa timu imefika jijini Tanga jana usiku kwaajili ya kambi ya muda mfupi ambapo itacheza mchezo wa leo na Coastal Union ambayo inashiriki ligi soka daraja la kwanza.

Baada ya mchezo wa leo timu  itaendelea na mazoezi hadi siku ya ijumaa ambapo itasafiri kwenda jijini  Dar es Salaam tayari kuwavaa mabingwa watetezi Yanga kwenye mchezo wa raundi ya 11 Jumapili hii.

Baada ya kupisha mechi za kirafiki za kalenda ya FIFA ligi kuu soka Tanzania bara inarejea wikiendi hii kwa michezo kadhaa kupigwa ukiwemo ule wa Jumamosi ambapo Azam FC itakuwa mgeni wa Njombe Mji FC wakati vinara wa ligi hiyo Simba SC watakuwa jijini Mbeya kukabiliana na Tanzania Prisons.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali