Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbwana Samatta ahoji kuhusu TP Mazembe

Jumatatu , 25th Nov , 2019

Mshambuliaji na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania pamoja na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta, amehoji juu ya ubora wa klabu ya TP Mazembe pamoja na wachezaji wa Tanzania wanaocheza huko.

Mbwana Samatta akiwa TP Mazembe

Samatta ametumia ukura wake wa Twitter kuhoji hivyo akieleza kuwa haelewi tatizo liko wapi maana wachezaji wa Tanzania ambao wanacheza TP Mazembe hawazingatiwi.

''Ni TP mazembe imepungua ukubwa au wachezaji wetu wa kitanzania waliopo pale ndo sio wakubwa? naona kama hatuna habari nao ivi'', ameindika Samatta.

Wachezaji wa Tanzania wanaocheza TP Mazembe kwasasa ni Eliud Ambokile pamoja na Ramadhan Singano.

Akiwa TP Mazembe kwa takribani miaka mitano, Samatta alifanikiwa kuwa mshambuliaji hatari Afrika huku akiibuka mfungaji bora wa Ligi ya Mabingwa Afrika na kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa ligi za ndani Afrika mwaka 2016.

Ramadhani Singano (kushoto) na Eliud Abokile (kulia)

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma