Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchezaji wa zamani ahukumiwa miezi 12 kwa kujichua

Alhamisi , 19th Dec , 2019

Mchezaji wa zamani wa Ligi Kuu ya Uingereza EPL, Neil Shipperley (45) amehukumiwa kifungo cha nje kwa miezi 12 kwa kosa la kujichua (Masturbation) mbele ya mkewe na mtoto wake.

Neil Shipperley ( kulia ) wakati akicheza ligi kuu ya Uingereza

Shipperley ambaye aliwahi kucheza katika klabu za Southampton, Crystal Palace, Chelsea na Wimbledon alifanya tukio hilo Septemba 17, 2019 alipokuwa kwenye gari pamoja na mkewe na mtoto wake mwenye umri wa miaka 16.

Aliwavusha wawili hao kukatiza barabara lakini ghafla naye alishuka kutoka kwenye gari huku akiwa ameshika tupu yake akielekeza kwao.

Amepewa hukumu ya miezi 12 ya nje kufanya shughuli za kijamii (community orders) ambapo siku 20 atazitumia kwa matibabu ya kisaikolojia, ikiwa ni maagizo ya mahakama.

Pia anatakiwa kufanya kazi kwa muda wa saa 120 bila malipo pamoja na kulipa faini ya pauni 200 ambayo ni sawa na sh. 603,400 kwa waathirika wa tukio hilo kama fidia.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa