Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchezaji aliyepoteza fahamu miaka 2 azinduka

Ijumaa , 27th Mar , 2020

Baada ya miaka miwili, miezi nane na siku 19, mchezaji Abdelhak Nouri wa klabu ya Ajax ya nchini Uholanzi ameamka kwa mara ya kwanza baada ya kupoteza fahamu.

Mchezaji Abdelhak Nouri

Abdelhak Nouri mwenye umri wa miaka 22 hivi sasa, alipoteza fahamu katika mchezo wa kirafiki  dhidi ya Werder Bremen Julai 8, 2017, ambapo kwa mujibu wa familia yake, hivi sasa anahudumiwa akiwa nyumbani baada ya kuathirika katika ubongo.

Hivi sasa anaweza kula na kutazama mechi za soka akiwa amekaa katika kiti maalum, ikiwa ni hatua kubwa katika kuimarika kwa afya yake ikilinganishwa na hapo awali.

Kaka yake ambaye anamhudumia wakati wote nyumbani, amesema, "hajakuwepo nyumbani kwa muda mrefu, tunaangalia kwa ukaribu afya yake hapa. Hivi sasa anaweza kukaa, anafahamu kuwa yupo mahali gani, analala, anakohoa na anakula pia, bado anaendelea kuimarika akiwa anatutegemea",.

Abdelhak amecheza jumla ya mechi tisa za kikosi cha kwanza cha Ajax kabla ya kipaji chake kukatishwa katika tukio hilo.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali