Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchezaji aondolewa kambini

Jumamosi , 24th Mar , 2018

Kiungo wa timu ya taifa ya Hispania David Silva ataukosa mchezo wa kirafiki kati ya timu hiyo dhidi ya Argentina baada ya kuondolewa kambini kwa sababu iliyoelezwa kuwa ni masuala binafsi.

Silva alijumuishwa kikosini na kocha Julen Lopetegui na jana usiku alicheza dakika 71, kwenye mchezo wa kirafiki ambapo Hispania ilitoka sare ya bao 1-1 na Ujerumani lakini kocha huyo amelazimika kumhuruhusu nyota huyo akashughulikie mambo yake.

Mchezo wa kirafiki wa Hispania na Argentina utapigwa siku ya Jumanne Machi 27, kwenye uwanja wa Wanda Metropolitano unaomilikiwa na klabu ya Atletico Madrid inayoshika nafasi ya pili kwenye msimamo wa La Liga.

Hivi karibuni pia kocha wa Manchester City Pep Guardiola alilazimika kumpa mapumziko Silva baada ya mtoto wake anayefahamika kama Mateo kuzaliwa akiwa na siku pungufu hivyo muda mwingi akawa anahitajika kuwa karibu na familia yake.

Klabu yake hiyo ambayo inaaongoza ligi kuu ya England itarejea dimbani Machi 31 kuivaa timu ya Everton kwenye mwendelezo wa michezo ya  ligi kuu ikiwa katika hatua za lala salama kw amsimu wa 2018/19.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi