Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meddie Kagere sasa ni wa pili Afrika

Jumatatu , 18th Feb , 2019

Mshambuliaji wa klabu ya soka ya Simba, Meddie Kagere kwasasa ndiye shujaa wa timu na huenda asipendwe sana na mashabiki wa timu pinzani kutokana  na namna anavyoziadhibu timu zao msimu huu.

Meddie Kagere akiwa na wachezaji wa Al Ahly katika mchezo uliopigwa Dar es salaam.

Kagere msimu huu ndiye kinara wa mabao msimbazi mpaka sasa ambapo anaongoza kwenye ligi kuu Tanzania bara na pia kwenye Ligi ya mabingwa Afrika.

Katika mechi tatu zilizopita, Simba imefunga mabao matano. Mabao 3-0 dhidi ya Mwadui FC, 1-0 dhidi ya Al Ahly na 1-0 dhidi ya Yanga.

Kati ya hayo matano Meddie Kagere amefunga matatu kwa wastani wa goli moja katika kila mchezo.

Kwenye ligi kuu Kagere ana mabao 9 na anaongoza kwenye klabu yake akifuatiwa na Emmanuel Okwi mwenye mabao 7. Kwa ujumla Kagere sasa yupo nyuma ya Eliud Ambokile mwenye mabao 10 na Heritier Makambo mwenye mabao 11.

Kwa upande wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kagere ana mabao manne na anashika nafasi ya pili nyuma ya Jean-Marc Makusu wa AS Vita Club mwenye mabao matano.

Kagere ambaye alisajiliwa msimu uliopita kutoka klabu ya Gor Mahia ya Kenya, yupo jijini Arusha na kikosi cha Simba ambapo kesho watashuka dimbani kucheza na African Lyon kwenye mchezo wa ligi kuu.

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea