Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meja Jenerali wa jeshi anavyoiongoza AS Vita

Jumanne , 12th Mar , 2019

Association Sportive Vita Club (AS Vita), ilianzishwa mwaka 1935 na Rais wa klabu hiyo kwa sasa ni Meja Jenerali mstaafu wa jeshi la DR Congo, Gabriel Amisi Kumba.

AS Vita na Rais wao Gabriel Kumba

Kumba alichaguliwa kuwa Rais wa klabu hiyo mwezi Machi 27, 2017 hivyo kuelekea Machi 16, 2019 kwenye mchezo dhidi ya Simba atakuwa anakaribia kutimiza miaka 12 akiwa madarakani huku akiwa amefanikiwa kuifanya AS Vita kuwa moja ya timu tishio Afrika.

Moja ya vitu ambavyo Kumba anatajwa kufanikiwa zaidi katika klabu hiyo ni kuifanya ijitegemee kiuchumi na kuweza kusajili wachezaji wakubwa pamoja na kuwalipa vizuri akiwemo mchezaji ghali zaidi kwenye kikosi ambaye ni Jean-Marc Makusu akiwa na thamani ya zaidi ya shilingi milioni 350.

Mbali na soka, AS Vita imefanikiwa kuwa na timu bora katika michezo mbalimbali ikiwemo, Basketball, Nantei na Volleyball huku yote yakisimamiwa na Meja jenerali mstaafu Gabriel Kumba.

AS Vita wanakuja nchini kucheza mchezo wa mwisho Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi D dhidi ya Simba ambapo kila mmoja anahitaji ushindi ili aweze kusonga mbele huku pia wakisubiri matokeo ya JS Saoura na Al Ahly huko Misri.

Kundi D kwasasa linaongozwa na JS Saoura wenye pointi 8, Al Ahly pointi 7, AS Vita pointi 7 na Simba wakiwa wa mwisho na pointi 6. Katika kundi hili kila timu inaweza kusonga mbele.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa