Jumanne , 25th Dec , 2018

Wachezaji bora wa dunia mara 5 kila mmoja, Lionel Messi na Cristiano Ronaldo wamekuwa miongoni mwa nyota mbalimbali wa soka duniani ambao wameungana na familia zao katika kusherehekea sikukuu ya Krismas.

Messi na Ronaldo

Kupitia mitandao ya kijamii nyota hao wameonesha picha wakiwa mapumzikoni na familia zao ambapo Cristiano Ronaldo ameonekana akiwa na mpenzi wake Georgina Rodríguez pamoja na watoto wake wanne wakiwemo mapacha.

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

Feliz Natal! Merry Christmas!

A post shared by Cristiano Ronaldo (@cristiano) on

Kwa upande mwingine Lionel Messi naye kupitia kwa mke wake Antonella Roccuzzo, ameweka picha akiwa na Messi pamoja na watoto wao watatu.

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

FELIZ FELIZ FELIZ NAVIDAD❤️

A post shared by AntoRoccuzzo88 (@antoroccuzzo88) on

Wakristo wote duniani leo wameungana kusherekea sikukuu ya Krismas ambayo ni kumbukumbu ya kuzaliwa ya Yesu Kristo.