Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mipango ya Ndayiragije kwenye michuano ya CHAN

Jumatano , 1st Jul , 2020

Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Etienne Ndayiragije amesema amepokea kwa furaha taarifa ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), kupanga michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) ifanyike Januari 2021 nchini Cameroon.

Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Etienne Ndayiragije akiwa amebebwa na wachezaji.

Katika mahojiano na East Africa Radio na East Africa Television leo Julai 1, 2020, Kocha huyo raia wa Burundi amesema baada ya wasiwasi kama michuano itakuwepo au haitakuwepo sasa wamepata ufafanuzi.

''Awali tulikuwa njia panda juu ya hatma ya michuano hii kama itafanyika au haitafanyika ukichukulia  tumefuzu kwa jasho sana ila sasa tuna furaha", amesema.

Kuhusu viwango vya wachezaji baada ya dharura ya Corona, amesema bado vipo juu kutokana baadhi ya mechi za ligi kuu na mashindano Azam Sports Federation Cup yanayoendeela na amefanikiwa kuyatazama.

Pia amesema kuwa muda wa mashindano ambao ni  Januari 2021, unaweza kuonekana ni mrefu lakini kiufundi ni muda mchache sana hivyo lazima waandae timu.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali