Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mo ataja mwezi wa kukamilisha uwanja wa Simba

Ijumaa , 5th Apr , 2019

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Simba, Mohammed Dewji ametoa ahadi kuwa hatua ya mwanzo ya ujenzi wa uwanja wa klabu hiyo huko Bunju utakamilika mwezi Mei.

Mo Dewji

Akizungumza katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo April 5, Dewji amesema kuwa kuchelewa kukamilika kwa zoezi la uwekaji nyasi kwenye uwanja huo ambalo awali lilikuwa likamilike mwezi Februari kulitokana na klabu hiyo kutozipata nyasi zake bandia kwa wakati kutokana na masuala ya kisheria. 

"Pia nataka nigusie suala la uwanja wetu wa Bunju. Mungu amesaidia nyasi zetu zimeshatoka na tumeshamalizana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambao walizishikilia

Tunangoja hizi mvua zipite na baada ya wiki kama mbili hivi tuendelee na ujenzi na Mungu akipenda, Mwezi wa tano tutaanza kutumia uwanja wetu," amesema Dewji. 

Dewji amesema kuwekwa kwa nyasi bandia hakumaanishi kama ndio kutakuwa ukomo wa ujenzi wa uwanja huo bali kutafuatiwa na ujenzi wa hosteli na miundombinu mingine kama kumbi za mikutano, mazoezi na mapumziko

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa