Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mo Dewji agawa usafiri kwa wachezaji wote wa Simba

Jumatano , 22nd Mei , 2019

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji, ametoa usafiri kwa wachezaji wote wa Simba msimu huu ikiwa ni sehemu ya ahadi yake kwao kutokana na mafanikio waliyopata msimu huu.

Mo Dewji na kikosi cha Simba

Akiongea leo baada ya timu hiyo kutwaa ubingwa wa Ligi kuu kwa mara ya pili mfululizo, Mo Dewji amesema anatekeleza ahadi yake ya kuhakikisha wachezaji wa Simba wanakuwa na maisha bora kwa kuwapa pikipiki aina ya Boxer zitakazowasaidia kuongeza kipato.

''Kalbu yetu msimu huu imetoa bonus kubwa sana kwa wachezaji ambayo ni zaidi ya shilingi bilioni moja, na mimi binafsi nimetoa pikipiki kwa kila mchezaji, ambazo zitawasaidia kuinua vipato vyao kwani wakiweka watu wa kuziendesha zinaweza kuwaingizia 15,000/= kwa siku'' - Mo Dewji.

Aidha Mwekezaji huyo wa Simba amesema kuhusu Pre season ya msimu ujao, wamejipanga kwenda Marekani au Ureno.

''Nimeongea na viongozi wa DC United ya Marekani na nimeomba tukafanye Pre season huko pia tucheze nao na timu nyingine za LMS au kwenda Ureno tukacheze na timu za huko'', ameeleza.

Kwa upande wa usajili amesema wapo makini na leo watapata ripoti ya kocha juu ya wachezaji wa nyumbani anaowataka, lakini pia katika wachezaji 10 wa kigeni mpaka leo usiku kocha ataeleza anabaki na nani na kina nani waondoke.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya