Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

MO Dewji atoa ahadi nyingine Simba, Bocco aongea

Jumamosi , 7th Dec , 2019

Kaimu Mwenyekiti wa klabu ya soka ya Simba Mwina Kaduguda, ameweka wazi kuwa mwekezaji wa klabu hiyo Mohammed Dewji ameahidi kuwapokesha Bajaj na Pikipiki mashabiki wa Simba ili waongeze kipato.

MO Dewji na John Bocco

Kaduguda ameyasema hayo leo mbele ya wanachama wa Simba waliojitokeza kwenye uwanja wa Bunju kwa lengo la kujionea baada ya awamu ya kwanza ya ujenzi kukamilila.

“Mwenyekiti wa Bodi, Mohammed Dewji ameahidi kukopesha bajaj na pikipiki ili kusaidia matawi kwa wanaopenda kujishughulisha na hilo halipo kwenye sehemu ya pesa ambayo anatoa.”- Kaimu Mwenyekiti, Mwina Kaduguda.

Kwa upande wake nahodha wa klabu hiyo John Bocco kwa niaba ya wachezaji, ameushukuru uongozi wa Simba kwa kujenga viwanja hivyo.

“Tunashukuru kwa viwanja hivi, vitatuongezea nguvu kuhakikisha tunashinda. Nawashukuru viongozi pamoja na mwekezaji, najua wamepitia vikwazo vingi lakini wameweza kufikia hii hatua. Nawashukuru mashabiki wetu kwa kujitokeza kwenye eneo hili na viwanjani au tukisafiri mikoani. Nawashukuru sana, nawaomba muendelee kuwa na upendo kwa wachezaji na viongozi.”- Nahodha.

Naye mwenyekiti mstaafu wa Simba Hassan Dalali amesema, “Kwanza namshukuru Mwenyekiti wa Bodi kwa kututengezea uwanja. Inahitaji moyo sana kufanya kazi ya kujitolea hata sisi miaka ya nyuma tulijenga majengo kwa kujitolea kwa kubeba matofali kichwani na yeye sasa anaendeleza hilo. Na sisi tunampongeza tupo nyuma yake kumuunga mkono”- Mwenyekiti Mstaafu Hassan Dalali.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali