Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Morrison ataka kuwachanganya mashabiki wa Yanga

Ijumaa , 20th Mar , 2020

Nyota maarufu ndani ya klabu ya Yanga hivi sasa, Bernard Morrison amesema kuwa ana vitu vingi vya kufanya kwa mashabiki wa klabu hiyo ili kuwapa kile kitu wanachokitaka.

Bernard Morrison

Amesema hayo kufuatia sapoti kubwa ambayo amekuwa akioneshwa na mashabiki wa Yanga tangu alipojiunga na nayo katika dirisha dogo la usajili mwezi Januari.

Morrison amesema kuwa alipokuwa akicheza soka nchini Congo DR na Afrika Kusini amejifunza vitu vingi ambavyo akivifanya, mashabiki watampenda kwa kiwango kikubwa zaidi na kwamba baada ya muda atavionesha vitu hivyo.

"Nilipokuwa Orlando Pirates ya Afrika Kusini nilijifunza vitu vingi sana kutoka kwa wachezaji wenzangu hasa kuhusu mitindo ya uchezaji na nafikiri nina vingi vya kuonesha lakini kwanza kwa sasa nataka kufunga magoli", amesema.

"Najua wanapenda ninavyofanya na mimi nataka nifanye zaidi kwa ajili yao kwa sababu wanakuja nyumbani kufurahia", ameongeza.

Kuhusu tetesi za kuhusishwa na klabu ya Simba, Morrison amesema kuwa yeye hana anachokifahamu kuhusu hilo kwani kwa sasa yupo na mkataba katika klabu ya Yanga, huku akiwashukuru amashabiki wengi ambao wamekuwa wakijitokeza kila mechi anazocheza kumpa zawadi mbalimbali.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya