Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtibwa Sugar waibukia Yanga, "tumebebwa"?

Jumapili , 21st Apr , 2019

Kufuatia kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera kulalamikia maamuzi ya waamuzi katika mchezo ambao Yanga ilipoteza dhidi ya Mtibwa Sugar, uongozi wa klabu ya Mtibwa umeibuka na kupinga vikali malalamiko hayo. 

Kifaru

Kikosi cha Mtibwa Sugar kilifanikiwa kuibuka kidedea mbele ya Yanga kwa ushindi wa bao 1-0, Jumatano, April 17 katika uwanja wa Jamhuri Morogoro, ambapo baada ya mchezo, kocha wa Yanga alionesha kutofurahishwa na maamuzi ya waamuzi waliochezesha mchezo huo. 

Uongozi wa Mtibwa Sugar kupitia kwa Afisa Habari, Thobias Kifaru umesema kuwa unashangazwa na taarifa zinazoelezwa kwamba wamebebwa ilihali mpira ulikuwa wazi na kila mmoja amaeona kilichotokea.

"Niliwaambia mapema ndugu zangu wa Yanga kwamba hapa ni lazima tuwachape kama ambavyo wao walifanya kwao, hicho ndicho kilichotokea na tumebeba pointi tatu, nashangaa wanadai tumebebwa wakati tuliwazidi mbinu na juhudi uwanjani wapinzani wetu wanapaswa wajipange", amesema Kifaru.

"Kinachowauma Yanga najua wanaona Mtibwa tumewapunguzia kasi na nguvu ya kuendelea kubaki kileleni ila nasi hatukuwa na namna maana tunataka tuwe ndani ya timu tatu bora sasa hatuwezi kufika hapo kama tutafungwa kiwepesi, tunajiamini na tunapambana kwa kila anayefuata hapa ni lazima tumyooshe," ameongeza.

Mtibwa Sugar imecheza michezo 32 imejikusanyia pointi 48 ikiwa nafasi ya nne imeshinda michezo 14, sare 6 na imepoteza michezo 12.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa