Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtibwa waongelea mapokezi muda mchache

Jumamosi , 15th Dec , 2018

Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika Mtibwa Sugar, wamesema wanelekea kwenye mchezo wao dhidi ya KCCA ya Uganda wakiwa hawana cha kulaumu kwani wamepokelewa vizuri sana.

Mtibwa Sugar

Mkuu wa msafara wa timu hiyo ambaye ni Mjumbe wa kamati ya shirikisho la soka nchini Steven Mguto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Coastal Union, amesema hakuna sababu ya kulalamika, wamepokelewa vizuri na wenyeji wao.

"Wenyeji wetu wametupokea vizuri sana, mpaka sasa hivi hatuna sababu ya kulalamika kwa sababu wametufanyia kila kitu ambacho tulikuwa tunahitaji kufanya hivyo tunaingia uwanjani kuiwakilisha nchi tukiwa vizuri kabisa'', amesema.

KCCA wanaongoza ligi kuu ya Uganda wakiwa alaama 24 kwenye mechi 11. Kwa ubora wa timu ya taifa ya Uganda ambayo imeshafuzu AFCON 2019 kutoka kundi L ambapo Tanzania pia ipo, inaelezwa kuwa mchezo huo utakuwa mgumu.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa