Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Muungano wa Chama, Tulia Ackson na Mwigulu Nchemba

Jumanne , 12th Feb , 2019

Kuelekea mchezo wa Simba leo dhidi ya Al Ahly ambao ni wa nne kwa kila timu katika kundi D ligi ya mabingwa Afrika, viongozi mbalimbali wameitakia heri Simba katika mchezo huo.

Kushoto ni Tulia Ackson na kulia ni Mwigulu Nchemba

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Tulia Ackson ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika mchezo wa kwanza wa Simba katika kundi hilo dhidi ya JS Sauora ambapo Simba ilishinda 3-0, amesema timu hiyo ina kila sababu ya kushinda tena.

''Nguvu tunayo, uwezo tunao na nia tunayo. Leo tuna kila sababu ya ushindi. Kila la heri Simbasc Tanzania'' ameandika Tulia Ackson.

Kwa upande wake waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani na mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, ameweka wazi kuwa anaungana na Simba kuhakikisha timu hiyo inaiwakilisha vizuri nchi na kushinda mchezo huo.

Kwa upande wa wachezaji wa Simba kiungo Clatous Chama amesema muungano na nguvu ya pamoja kutoka kwa wachezaji ndio huleta ushindi ndani ya Simba na anaamini hilo litatoekea leo.

Wakati huo mshambuliaji wa kikosi hicho Meddie Kagere amesema wamejiandaa vizuri kwa mchezo huo na wapo tayari kwa mapambano kuhakikisha wanashinda.

Mchezo huo unaanza saa 10:00 jioni kwenye uwanja wa taifa Dar es salaam.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali