Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Mwakani tutaongeza timu'' - St. Joseph

Jumamosi , 14th Jul , 2018

Nahodha wa timu ya Kikapu ya St. Joseph Etiene Elijjah Ismael, amesema mwakani wanampango wa kuongeza timu kwenye michuano ya Sprite Bball Kings kutokana na kuwepo kwa wachezaji wengi wa mchezo huo chuoni hapo ambao hawawezi kucheza katika timu moja.

Timu ya Kikapu ya St. Joseph

Akiongea na www.eatv.tv Etiene amesema wanashukuru baada ya kushiriki msimu uliopita wakapenda mashindano wakaamua kuanzisha timu ya pili ambayo ni DMI, lakini wameona mwakani pia watengeneze timu ya tatu kutokana na baadhi ya wachezaji kuendelea kukosa nafasi katika timu hizo mbili.

''Mashindano ni mazuri nawaomba tu wadau wazidi kujitokeza kushuhudia mechi za robo fainali maana ndio wanatupa nguvu ya kuzidi kufanya vizuri na kuongeza timu. Kama sisi hapa chuoni tuna timu mbili ambazo zimeingia hatua hiyo sisi na timu ya DMI na tunataka kuongeza ya tatu mwakani'', - amesema.

St. Joseph na DMI zote zinatokea chuo cha St. Joseph na zimetinga hatua ya robo fainali ya michuano hiyo na inatarajiwa kufanyika Julai 21 kwenye uwanja wa ndani wa taifa ambapo St. Joseph watacheza na mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars huku DMI wakicheza na Team Kiza.

Mshindi wa michuano hiyo inayoandaliwa na East Africa Television LTD na kudhaminiwa na kinywaji cha Sprite, atajinyakulia zawadi ya shilingi milioni 10 huku mshindi wa pili akipata milioni 3 na MVP milioni 2. Mechi za robo fainali zitaanza Saa 6:00 mchana hadi saa 2:00 usiku.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi