Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakinyo amtamani Amir Khan

Jumatatu , 24th Sep , 2018

Baada ya kumtwanga bondia kutoka England, Samm Eggington, Bondia Hassan Mwakinyo, ameendeleza ubabe wake wa kutaka pambano dhidi ya bondia kutoka Uingereza, Amir Khan.

Bondia Hassan Mwakinyo (kushoto) na Bondia kutoka Uingereza Amir Khan.

Akiongea na www.eatv.tv Mwakinyo amesema,hana wasiwasi na Amir khan,kwani ni bondia ambaye amekuwa akibebwa na nchi yake ngali na kuwa na kiwango hafifu na ana imani ya kuwa na uwezo wa kumchakaza bondia uyo kwa nafasi ileile aliyoitumia kwa Sam Eggington.

“_Amir khan si bondia wa kutisha anabebwa sana na watu wake, alishawahi kupigwa kwenye kidevu akapata strock (mshtuko) na kukaa nje ya mashindano kwa mwaka ,kwaiyo mimi nitampiga katika nafasi ileile ya kuumia kwake, ikiwa asilimia 5% naamini nitampiga, na 95% naomba tumuachie Mungu”_ Amesema Mwakinyo.

Akizungumzia juu ya mfadhili wake mpya ambaye pia ni Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji, Mwakinyo amesema, anashukuru kwa sapoti anayoipata kwa sasa kupitia Mwekezaji huyo, richa ya kutokuwa na makubaliano yoyote ya kimkataba baina yao.

Taarifa hizo zimekuja mara baada ya Mwakinyo kukosa watu wa kumuwezesha kupata maandalizi ya kutosha na sasa bila shaka ndoto yake imezidi kunawili kutokana na kupata nguvu kwa Bilionea huyo kijana ndani ya Afrika.

Mwakinyo ambaye ameweka makazi yake mkoani Tanga, ameendelea kuweka mkazo kutokuwepo kwa pambano lake dhidi ya bondia wa Ujerumani Wanik Awdijan, kutokana na kuto kulingana kwa viwango (rank) akisema bondia huyo hawezi kumuongezea nafasi yoyote kimataifa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali