Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanamama Hope atangaza kugombea Urais

Ijumaa , 8th Dec , 2017

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya wanawake ya Marekani Hope Solo, mwenye umri wa miaka 36 ametangaza rasmi kuwania nafasi ya Rais wa shirikisho la soka nchini humo (USSF) mwaka 2018.

Hope Solo ameweka wazi mpango wake huo wa kuwania nafasi hiyo ya kuongoza soka nchini Marekani huku akieleza moja ya sababu kubwa ni kuporomoka kwa kiwango cha timu za taifa za soka za wanawake na wanaume.

Rais wa USSF wa sasa Sunil Gulati ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo akitaja sababu kuwa ni kuwajibika baada ya timu ya wanaume kushindwa kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi. Gulati mwenye umri wa miaka 58 amekuwa rais wa USFF tangu 2006.

 "Nilipokuwa msichana mdogo, kitu pekee nilichotaka ni kucheza soka na kuichezea timu yangu ya taifa katika ngazi zote na nimefanikiwa kufanya hivyo, kinachofanya ni kulitendea haki taifa langu na kurejesha heshima ya soka kwa kuwa rais wa USSF”, amesema Hope Solo.

Hope ameongeza kuwa katika muda wote ambao amekuwa mchezaji na hata baada ya kustaafu amekuwa akijifunza kutoka kwa marais wengine duniani hivyo ana uhakika amepata uzoefu wa kutosha kuweza kuisaidia nchi yake.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali