Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwigulu afichua Singida United kuifaidisha Yanga

Jumatano , 7th Aug , 2019

Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Nchemba amefichua siri ya namna usajili wa klabu ya Singida United na unavyofaidisha klabu ya Yanga.

Dkt. Mwigulu Nchemba

Mwigulu ameelezea jinsi alivyofanikisha usajili wa wachezaji kadhaa na kuwapeleka Yanga, huku akisisitiza kuwa tangu klabu ilipokuwa daraja la kwanza amekuwa akifanya usajili mwenyewe, hivyo halina madhara yoyote kwake.

"Kila la heri wananchi, nilimsajili Fei Toto na kumtoa, na mwaka huu nimemsajili Ally Mtoni nikawapa Yanga na niliridhia Marcello asajiliwe Yanga. Watu wanaona kama ina madhara Singida United kufanya hivyo. Ukweli ni kwamba miaka yote tangu daraja la kwanza, Singida nasajili mwenyewe wachezaji wote na benchi la ufundi kwa gharama zangu", amesema Dkt Mwigulu.

"Naendesha klabu mwenyewe na mwaka huu Singida nimesajili kikosi bora kuliko cha mwaka jana, kikwetu kijana ukishakua na mji wako, wakati wa kilimo lazima utenge siku moja kwenda kulima shambani kwa baba yako. Ni suala la adabu tu na kufanya hivyo si kutelekeza famila yako", ameongeza.

Yanga ipo kambini Zanzibar kujiandaa na mchezo wa hatua ya kwanza wa Klabu Bingwa Afrika wikiendi hii dhidi ya Township Rollers katika uwanja wa taifa.

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani