Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzamiru Yassin alamba Tuzo

Jumamosi , 29th Apr , 2017

Vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba SC, leo wamemtangaza kiungo wao Mzamiru Yassin kuwa ndiye mshindi wa Tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Machi mwaka 2017, ikiwa ni mara yake ya pili kutwaa tuzo hiyo ndani ya klabu.

kiungo Mzamiru Yassin

Kiungo huyo Tuzo yake ya kwanza alishinda mwezi Oktoba mwaka 2016 kwa kupigiwa kura na mashabiki kutokana na jitihada na kujituma kwa timu yake pindi wanapokuwa dimbani na hatimaye kuipa ushindi.

Ikumbukwe, mchakato wa kumpata mchezaji bora wa mwezi hupatikana kwa mashabiki wa Simba kuanza kupendekeza jina la mchezaji wanaomtaka kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii ya klabu hiyo na mwishowe huanza kupigiwa kura.

Kwa upande mwingine, leo timu ya Simba SC itashuka dimbani kuvaana na Wanalambalamba (Azam FC) katika kutafuta tiketi ya kuingia Fainali michuano ya Kombe la Shirikisho FA, utakaochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi