Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nafasi ya tatu yawapagawisha Kagera Sugar

Jumatatu , 22nd Mei , 2017

Uongozi wa Kagera Sugar umewashukuru mashabiki wa timu yao kwa kuwaonesha uzalendo wa hali ya juu katika kipindi chote walichopitia katika michuano hadi kuibuka washindi  wa tatu ligi kuu Tanzania Bara.

Kikosi cha Kagera Sugar mara baada ya kukabidhiwa medali za mshindi wa tatu

Kupitia ukurasa wao instagram, Kagera Sugar imesema kuwa bila ya mashabiki zao, wasingeweza kupata mafanikio waliyoyapata katika msimu huu katika soka.

"Special thanks' za dhati ziende kwa mashabiki wetu wakiongozwa na kikundi chetu cha uhamisishaji na ushangiliaji mmetoa sana mchango mkubwa kufanikisha mafanikio yetu msimu huu... Mmekuwa bega kwa bega na sisi kama timu kwa vipindi vyote vigumu na vile vya furaha tuliposhinda tulishangilia pamoja na tuliposhindwa tulihuzunika pamoja.....Tunzo yenu ya mchezaji bora wa mechi katika kila mchezo iliongeza na kutia chachu kwa kila mchezaji ndani ya kikosi ".Ilisema taarifa hiyo kutoka Kagera

Katika hatua nyingine, klabu hiyo iliwapongeza wachezaji wake Juma Kaseja kwa kuchaguliwa kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya kipa bora pamoja na Mbaraka Yusuph kuteuliwa kuwania tuzo ya mchezaji bora chipukizi katika ligi hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa