Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namungo FC wazidi kuchafua hali ya hewa

Alhamisi , 6th Jun , 2019

Msimu timu mbalimbali zinaendelea kujiandaa na usajili kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara, Namungo FC imeendelea kutikisa katika usajili.

Usajili wa Namungo FC

Namungo FC yenye makao yake makuu wilayani Ruangwa mkoani Lindi imeendelea kutikisa katika usajili, ambapo hadi sasa imesajili wachezaji wanne watakaoitumikia timu hiyo msimu ujao.

Mchezaji wa kwanza ambaye imemsajili ni Bigirimana Blaize kutoka Alliance FC, ambapo amesaini mkataba wa mwaka mmoja. Mwingine ni Daniel Joram ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo. Joram aliitumikia Namungo FC kwa mkopo msimu uliopita akitokea Mbeya City.

Pia Namungo FC imeimarisha mikataba ya wachezaji wake wawili, mlinzi, Jukumu Kibanda pamoja na mshambuliaji Lusajo Reliants kwa mkataba wa miaka miwili. 

Kutokana na usajili wanaoufanya Namungo FC, kuna kila dalili ya timu hiyo kufanya vizuri msimu ujao kama ilivyokuwa kwa klabu ya KMC katika msimu wake wa kwanza uliomalizika, ambapo imemaliza nafasi ya nne ya msimamo na kufuzu kucheza michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali