Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namungo kibaruani leo, Kombe la Shirikisho Afrika

Jumamosi , 28th Nov , 2020

Klabu ya Namungo ambayo ni miongoni mwa klabu wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya Afrika, inataraji kushuka dimbani saa moja usiku wa hii leo kwenye dimba la chamazi temeke Dar es salaam kuvaana na klabu ya Al Rabita kutoka Sudan Kusini kwenye kombe la shirikisho Afrika.

Kikosi cha Namungo FC

Kuelekea kwenye mchezo huo ambao ni wa hatua ya awali ya mtoano kuwania kufuzu hatua ya makundi ya michuano ya kombe la shirikisho Afrika, Afisa Habari wa Namungo Chindamba Namlia amesema maandalizi ya mchezo huo yamekamilika na dhamira yao ni kupata ushindi nyumbani.

Maandalizi ya mchezo wetu dhidi ya Al Rabita yamekamilika, wachezaji wako kwenye hali nzuri, morali ipo juu. Tunawaheshimu wapinzani wetu lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda nyumbani ili iwe rahisi kwenye mechi ya marudiano ugenini”. Kindamba Namlia, Msemaji wa Namungo FC.

Kwa Upande wa kocha wa Namungo, Hemed Suleiman 'Morocco' amesema licha ya kukosa CD za kumsaidia kumuoneshea video za marudio ni namna gani wapinzani wake wanacheza ili iwe rahisi kuwakabiri, amesema bado anaamini maandalizi yao yatawasaidia kufanya vizuri kwenye mchezo huo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali