Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Nilikosea kumfananisha Gotze na Messi'' - Loew

Jumapili , 20th Mei , 2018

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Ujerumani Joachim Loew amekiri alifanya makosa ya kumlinganisha mchezaji taifa hilo Mario Gotze na mshamuliaji wa timu ya Barcelona, Lionel Messi  ambaye ni raia wa Argentina. 

Kwa mujibu wa jarida la michezo la Tencent Sports, Kocha huyo amesema hayo leo Mei 20, 2018 wakati akielezea sababu ya kutomjumuisha Gotze katika kikosi ambacho kitaiwakilisha Ujerumani katika mashindano ya kombe la Dunia Nchini

Urusi, Juni 14, 2018 na kuongeza kuwa aliamua kumfananisha Gotze na Messi ili kumtia moyo mchezaji huyo
“Sikufikiria athari ambayo angeweza kuipata kabla ya kusema maneno yale kwa Gotze, nilifanya vile kwa lengo la kumtia moyo lakini ilikuwa ni makosa kutamka hadharani, miezi michache baadae kauli ile ilianza kumaathiri Gotze,  hajacheza vizuri msimu huu, sio “super Mario” ambae tulikua tunamfahamu siku zote” amesema Loew.

Loew ameongeza kuwa kauli yake ilimbebesha mzigo mkubwa mchezaji huyo na hivyo kuanza kanza kushuka kiwango ingawa anaamini Gotze ni mchezaji bora na ataweza kurudi katika kiwango chake baada ya majira ya kiaangazi.

Mario Gotze aliiwezesha timu ya Taifa ya Ujerumani kushinda kombe la Dunia baada ya kufunga goli pekee katika dakika za nyongeza dhidi ya Taifa la Argentina katika mashindano ya kombe la Dunia yaliyofanyika nchini Brazil mwaka 2014.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya