Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Nilimruhusu mpiga picha wa Ikulu'' - Manara

Jumatatu , 21st Mei , 2018

Baada ya kusambaa kwa video na picha zinazomwonesha msemaji wa Simba Haji Manara, akihuzunika uwanjani huku akiwa ameshika eneo la moyo amemtaja (Ankal Michuzi) ambaye ni mpiga picha wa Ikulu na alimruhusu kuzisambaza.

Manara ameeleza kuwa lengo la kuzisambaza video hizo ni kuwaonesha mashabiki nguvu ya mchezo wa soka ilivyo kubwa na wao kama viongozi huwa wanaumia pia pindi mambo yanapokuwa hayaendi vizuri.

''Anko Michuzi (mpiga picha wa Ikulu) ndiye ambae alipiga picha na video zote 'zinazotrend' mitandaoni bila mm kujijua, aliniuliza kabla ya kuziachia nikamruhusu ili Watanzania waone tunavyopagawa na hizi timu'', amesema.

Picha na Video hizo zilipigwa kwenye uwanja wa taifa juzi kwenye mchezo wa ligi kuu ambao ulikuwa maalum kwa Simba kukabidhiwa ubingwa lakini furaha yao ilitibuliwa na Kagera Sugar kwa kufungwa bao 1-0. Okwi alikosa penati ambayo ilidakwa na Juma Kaseja.

Ubingwa wa ligi kuu msimu huu ni wa kwanza kwa Simba tangu Haji Manara awe msemaji wa timu hiyo, na amekuwa akiusubiri kwa hamu huku akiwa ni miongoni mwa wanasimba ambao waliokuwa wanajivunia rekodi ya kutopoteza mchezo msimu huu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali