Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nusu Fainali Mapinduzi Cup kuchezwa Kesho

Ijumaa , 9th Jan , 2015

Michuano ya Kombe la Mapinduzi inatarajiwa kuingia hatua ya Nusu Fainali hapo kesho Uwanja wa Amaani, Zanzibar kwa kuzikutanisha JKU na Mtibwa Sugar.

JKU waliitoa Yanga katika mchezo wa Robo fainali baada ya kufunga bao 1-0 katika Dakika ya 72, Mchezo uliochezwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

Mtibwa Sugar nao waliitoa Azam FC kwa mikwaju ya Penati 7-6 baada ya Mechi yao kumalizika kwa bao 1-1 ndani ya dakika 90.

Nusu Fainali nyingine itakayopigwa hapo kesho, itawakutanisha Polisi ya Zanzibar na Simba SC uwanja wa Amaan, Zanzibar ambapo Polisi waliwafunga Mabingwa watetezi wa Kombe hilo KCCA kwa mikwaju ya Penati 5-4 baada ya kumaliza Dakika 90 na kutoshana nguvu kwa bao 0-0.

Simba iliibwaga Taifa ya Jang'ombe kwa bao 4-0 hivyo kufanikiwa kuingia hatua ya Nusu fainali ambapo Fainali inatarajiwa kufanyika Januari 13 Uwanja wa Amaan visiwani humo kwa kuzikutanisha Mshindi kati katika mechi ya JKU na Mtibwa Sugar na Mechi kati ya Polisi na Simba SC.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi