Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nusu fainali ya kwanza, Tamaduni na Mchenga safi

Jumamosi , 21st Sep , 2019

Michezo ya kwanza ya hatua ya nusu fainali ya Sprite Bball Kings 2019 imemalizika katika Uwanja wa Ndani wa Taifa na kushuhudia mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars na Tamaduni wakianza vyema.

Michezo ya kwanza hatua ya nusu fainali, Sprite Bball Kings 2019

 

Michuano hiyo inayofanyika kwa mwaka wa tatu mfululizo, ikiandaliwa na EATV na EA Radio kwa kushirikiana na kinywaji cha Sprite, imeonesha kuwa na msisimko mkubwa hasa katika hatua muhimu za kuelekea mwishoni.

Katika mchezo wa kwanza leo, timu ya Tamaduni imefanikiwa kuibuka na ushindi wa vikapu 99 dhidi ya vikapu 78 vya KG Dallas huku mchezaji Atupele Joseph wa KG Dallas akiongoza kwa kufunga pointi nyingi, ambapo amefunga jumla ya pointi 25, 'rebounds 5' - na 'assist 1'-.

Katika mchezo wa pili, mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars wameibuka na ushindi wa vikapu 95 dhidi ya 71 vya Flying Dribblers, huku mchezaji Baraka Sadick wa Mchenga akiongoza kwa kufunga pointi nyingi, ambapo amefunga pointi 35, 'rebounds 6' - na 'assist 3'.

Mechi za pili zinatarajia kupigwa Jumatano Ijayo, Septemba 25 katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi