Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Okwi kuikosa Cape Verde leo, sababu yatajwa

Jumamosi , 17th Nov , 2018

Mshambuliaji wa kimataifa wa klabu ya soka ya Simba kutoka nchini Uganda, Emmanuel Okwi, leo hatakuwa sehemu ya mchezo wa 5 kundi L kuwania kufuzu fainali za AFCON 2019 dhidi ya Cape Verde.

Emmanuel Okwi akiwa mazoezini na wachezaji wenzake wa Uganda.

Okwi anakosa mchezo huo kwa kuwa anatumikia adhabu ya kukosa mchezo mmoja kutokana na kuwa na kadi mbili za njano, hivyo atakuwa jukwaani akiwatazama wenzake.

Okwi mpaka sasa ameifungia Uganda mabao 2 kwenye michuano hiyo ya kuwania kufuzu akiwa nyuma ya Farouk Miya ambaya ana mabao matatu, huku kwa pamoja wakiisaidia timu hiyo kuaongoza kundi hilo wakiwa na alama 10.

Uganda leo inahitaji alama 1 pekee ili kujihakikishia nafasi ya kufuzu fainali hizo. Mchezo huo utapigwa kuanzia saa 10:00 kwenye uwanja wa taifa wa Uganda maarufu kama Namboole.

Kundi L pia lina timu za Tanzania na Lesotho ambazo zinacheza kesho mjini Masero huko Lesotho ambapo Taifa Stars inahitaji ushindi ili kujiweka mahala pazuri kwenye mbio hizo za kwenda Cameroon.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma