Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Okwi,Manula hatarini kuikosa mechi ya Yanga

Ijumaa , 20th Apr , 2018

Benchi la ufundi la klabu ya Simba kesho litaingia kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Lupili FC likiwa na tahadhari kubwa kwa wachezaji wake wawili, mshambuliaji Emmanuel Okwi na kipa Aishi Manula kutoka na nyota hao kuwa na kadi mbili za njano.

Wawili hao tayari wameshaoneshwa kadi mbili za njano katika michezo miwili iliyopita na endapo wataoneshwa kadi nyingine ya njano katika mchezo wa kesho moja kwa moja watakuwa wamekosa mchezo ujao ambao ni dhidi ya Yanga April 29.

Benchi la ufundi la Simba huenda likachukua maamuzi magumu kuepusha nyota hao kupata kadi ambapo golini anaweza kuanza golikipa namba mbili Said Mohammed ambaye hajadaka mchezo hata mmoja msimu huu.

Kwa upande wa Okwi, makocha Pierre Lechantre na Masoud Djuma wanaweza kuamua kumwacha nje Okwi ambaye hana rekodi nzuri kwenye viwanja vya mikoani akiwa amefunga mabao matatu tu kati ya 19 ambayo amefunga msimu huu.

Simba kwasasa inaongoza ligi ikiwa na alama 58 kwenye michezo 24 ikifuatiwa na Yanga yenye alama 47 kwenye michezo 22. Lipuli FC ipo katika nafasi ya 8 ikiwa na alama 31 baada ya michezo 25.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi