Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Onyango asaini miwili Simba

Alhamisi , 23rd Jun , 2022

Beki wa kimataifa wa Kenya, Joash Onyango ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kusalia katika klabu hiyo ya Simba SC baada mkataba wake wa awali kumalizika mwisho wa msimu huu.

Beki wa kimataifa wa Kenya, Joash Onyango .

Akizungumza na EATV Onyango amesema kuwa amesaini mkabata wa miaka mwili ambapo ataendelea kuwatumia Simba hadi mwaka 2024.

''Wanasimba watulie kwakuwa sasa tumepoteza ubingwa lakini msimu ujao tumejipanga kufanya vyema katika michuano yote ambayo tutashiriki na kurudisha heshima ilikuwa nayo Simba'' amesema Onyango.

Tangu alipojiunga na Simba, Onyango amecheza sehemu muhimu ya timu akiwa kama beki wa kati ambapo amekuwa akisaidiana na beki kisiki kutoka Congo, Eneck Inonga, Kennedy Juma pamoja na Pascal Wawa ambaye kwasasa hatokuwepo kwenye kikosi cha Wanamsimbazi msimu ujao.

Hata hivyo kulikuwa na hofu juu ya mustakabali wa Onyango baada ya kukosa mechi mbili za mwisho za Simba dhidi ya Mbeya City na KMC huku Mei mwaka jana, vigogo wa Afrika Kusini, Orlando Pirates, walionyesha nia ya kutaka kuwasajili wachezaji hao na aliyekuwa Msemaji wa Simba wakati huo, Haji Manara (sasa Yanga SC) akadai kitita cha Sh100 milioni.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 anakuwa mchezaji wa pili ndani ya klabu ya Simba kuongezewa mkataba ambao wa kwanza ni Aishi Manula ambaye aliongezewa mkataba siku chache zilizopita huku Rally Bwalya, Bernard Morrison na Pascal Wawa wakiondoka klabu hapo.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa