Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pele 'Mfalme wa Soka' afariki Dunia

Alhamisi , 29th Dec , 2022

Gwiji wa soka wa zamani wa Brazil Edson Arantes do Nascimento maarufu kama Pele amefariki dunia leo Alhamisi Desemba 29 akiwa na umri wa miaka 82. 

Pele akiwa ameshikilia Kome la Dunia

Mtoto wake wa kike Kely Nascimento, amethibitisha kifo cha baba yake baada ya kuugua saratani ya utumbo mpana na kulazwa hospitalini ambako alikuwa akip[ata matibabu.

Pele ambaye alitajwa kama mchezaji bora wa karne ya 21, enzi za uchezaji wake alifanikiwa kushinda mataji matatu ya Kombe la Dunia akiwa na timu ya taifa ya Brazil.

Pele ndiye mfungaji bora wa timu ya taifa ya Brazil akiwa na mabao 77 katika michezo 92 akilingana idadi hiyo ya magoli na Neymar Jr. 

Katika ngazi ya klabu, ndiye mfungaji bora wa muda wote wa klabu ya Santos ya Brazil akiwa na mabao 643 katika michezo 659.

Katika enzi ya dhahabu kwa Santos, aliiongoza klabu hiyo kushinda ubingwa wa bara la Amerika ya Kusini maarufu kama Copa Libertadores mwaka 1962 na 1963 pamoja na klabu bingwa ya dunia enzi hizo ikiitwa Kombe la Mabara mwaka 1962 na 1963.

Anatajwa kama mchezaji aliyefunga zaidi ya magoli elfu 1000 kwenye maisha yake ya soka.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali