Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pogba agoma kufanyiwa upasuaji

Jumatano , 3rd Aug , 2022

Taarifa kutoka Turin nchini Italia zinasema kiungo wa Juventus raia wa Ufaransa Paul Labile Pogba amekataa kufanyiwa upasuaji kwenye goti lake lililojeruhiwa, na badala yake amechagua kufanyiwa matibabu ya kawaida bila kupasuliwa.

Paul Pogba

Pogba amefanya uamuzi huo ili apate nafasi ya kushiiriki michuano ya kombe la Dunia inayotarajiwa kuanza mwezi Novemba mwaka huu nchini Qatar, kwani endapo atakubali kufanyiwa upasuaji basi atalazimika kukaa nje kwa zaidi ya miezi minne kitendo ambacho kitamfanya ashindwe kushirikishi michuano hiyo mikubwa ya soka Duniani.

Nyota huyo wa kimataifa wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 29 anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa kipindi kisichopungua wiki tano kama matibabu yataenda vizuri vile inavyotarajiwa, lakini endapo hali ikiwa tofauti basi huenda akakosekana kwa kipindi kirefu zaidi ya hapo.

Pogba alipata jeraha hilo la goti ikiwa ni wiki tatu tu tangu ajiunge tena kwa mara ya pili na Kibibi kizee hicho cha Turin (Juventus) kwa mkataba wa maika minne akitokea Manchester united alipodumu kwa kipindi cha miaka 6 akiwa amejiunga kwa mara ya pili na mashetani hao wekundu akitokea Juventus aliporejea hivi sasa.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil