Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pointi zatawala michezo ya 16 bora

Jumamosi , 7th Jul , 2018

Katika mwendelezo wa mechi za hatua ya 16 bora zinazoendelea mchana huu kwenye viwanja vya Airwing Ukonga jijini Dar es salaam, mpaka sasa timu tatu zimeshafanikiwa kutinga robo fainali huku ushindani wa ponti ukitawala.

Wachezaji wa DMI (Chuichui) kwenye mechi yao dhidi ya Fast Heat (Blue) mapema leo.

Katika mechi tatu ambazo zimeshapigwa hadi sasa timu ambayo imeshinda kwa pointi nyingi ni DMI ambayo imeilaza Fast Heat kwa vikapu 113 dhidi ya 64. Kwa matokeo hayo tayari DMI wapo robo fainali ya Sprite Bball Kings msimu wa 2018 wakiendelea kusogea kwenye milioni 10.

Timu nyingine ni Flying Dribblers ambao wamekuwa moto wa kuotea mbali walipokutana na Ukonga Hitmen wakiwajaza vikpau 87 kwa 63, hivyo kubaki na faida ya vikapu 24 ambavyo vimepelekea robo fainali.

Katika kuisaka robo fainali timu ya St. Joseph nayo haijawa nyuma kwani imehakikisha inatinga hatua hiyo kwa kuwafunga Air Wing vikapu 98 kwa 78 hivyo kujihifadhia faida ya vikapu 20.

Mchezo ambao utakamilisha mechi nne za leo uko mbioni mchana huu kati ya Mbezi Beach KKKT dhidi ya Portland ambayo inaanza muda si mrefu. Baada ya mechi za leo kesho hatua ya 16 bora itaendelea kwa mechi nne kupigwa kwenye uwanja wa Bandari Kurasini.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi