Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Portland yaongoza mbio za robo fainali

Jumamosi , 7th Jul , 2018

Timu ya Kikapu ya Portland kutoka Kinondoni imeongoza mbio za kuelekea robo fainali ya Sprite Bball Kings 2018 baada ya kushinda kwa vikapu 126 dhidi ya 54 vya Mbezi Beach KKKT kwenye mchezo uliopigwa kwenye viwanja vya Airwing Ukonga jioni ya leo.

Wachezaji wa timu ya Portland

Kwa matokeo hayo Portland imeongoza kwa tofauti kubwa ya pointi ukilinganisha na timu zingine tatu zilizoshinda mechi zake za hatua ya 16 bora leo na kutinga robo fainali.

Mechi tatu zingine zilizopigwa leo pale Airwing Ukonga ni ile ya DMI ambayo imeilaza Fast Heat kwa vikapu 113 dhidi ya 64, hivyo kukaa katika nafasi ya pili kwa kushinda vikapu vingi leo huku ikikata tiketi ya robo fainali ya Sprite Bball Kings msimu wa 2018.

Flying Dribblers nao hawakuwa nyuma ambapo waliibuka na ushindi dhidi ya Ukonga Hitmen wakiwajaza vikapu 87 kwa 63. Vikapu hivyo vimewapa kibali cha robo fainali wakisubiri droo tu kujua watacheza na nani.

St. Joseph nao wamehakikisha wanatinga hatua ya robo fainali baada ya kuwafunga Air Wing vikapu 98 kwa 78. Kesho hatua ya 16 bora itaendelea kwa mechi nne kupigwa kwenye uwanja wa Bandari Kurasini hakutakuwa na kiingilio kama ilivyokuwa leo Airwing Ukonga.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi