Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia avunja rekodi kwenye sekta ya michezo

Jumatatu , 18th Mar , 2024

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mussa Azan Zungu amesema katika kuelekea miaka mitatu ya Mheshimiwa Rais Dokta Samia Suluhu Hassani katika sekta ya michezo ni kutoa kwake hamasa kumevunja rekodi ya kuingiza timu mbili za Yanga SC na Simba SC.A

Akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 18,2024 Naibu Spika Mheshimiwa Zungu amesema kuwa hamasa zimechangia kiasi kikubwa kufanya vyema kwenye michezo na hii inaonyesha kuwa Rais ana upendo anajitoa kwa wanamichezo katika kuhakikisha hawakumbani na changamoto yoyote wanapokwenda kushiriki michuano mbalimbali.

“Hii ni mara kwanza kwa nchini yetu kufanya vyema hivyo hii hamasa ya Rais kununua mabao imechangia kwa kiasi kikubwa kuzifanya timu zetu kujituma na kuhakikisha wanaipeperusha vyema bendera ya Taifa “amesema Zungu .

Kwa upande mwingine Naibu Spika huyo amesema Bunge la Tanzania limeenda mbio za marathan zenye lengo la kukusanya zaidi ya bilioni nne kwaajili ya kujenga shule vipaji maaalmu ya bunge ya wavulana ya kidato cha tano na cha Sita zitazofanyika Aprili 13 mwaka huu.

Katika mbio hizo za Bunge Marathan kutakuwa na zawadi mbalimbali kwa washindi na washiriki kwa kuwapa fedha taslimu pamoja na medali za dhahabu ,Fedha na shaba nazitatolewa kwa mshindi wa kwanza,wa pili,na mshinidi wa tatu.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero