Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rekodi za Sahare All Stars na Namungi FC

Jumamosi , 11th Jul , 2020

Nusu fainali ya kwanza ya Azam Sports Federation Cup, inachezwa leo Saa 9:00 Alasiri uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga. 

Kikosi cha Namungo FC

Katika mchezo huo timu pekee ya ligi daraja la kwanza iliyosalia katika michuano hiyo ni Sahare All Stars ya Tanga na watakuwa wenyeji wa Namungo fc ya mkoani Lindi.

Katika hatua ya robo fainali Sahare waliitoa Ndanda fc ya Mtwara kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya mchezo huo kumalizika kwa sare ya bao 1-1 ndani ya dakika 90.

Katika safari ya Sahare mpaka wanafika nusu fainali waliitoa Njombe mji katika mzunguko wa 64, hatua ya 32 bora waliitoa Mtibwa sugar na hatua ya 16 bora waliiondoa Panama Fc.

Namungo walikata tiketi  ya kucheza nusu fainali baada ya kuifunga Alliance fc ya Mwanza mabao 2-0 kwenye mchezo wa robo fainali. Namungo waliitoa Green Worrios katika mzunguko wa 64, hatua ya 32 bora waliifunnga Biashara united na wakaitoa Mbeya City katika hatua ya 16 bora.

Mshindi wa nusu fainali hii ya kwanza atacheza na mshindi wa nusu fainali ya pili itakayochezwa kesho kati ya Simba dhidi ya Yanga.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali