Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ronaldo aikaribia rekodi nyingine ya ufungaji

Alhamisi , 10th Jun , 2021

Mchezaji bora wa Dunia mara tano raia wa Ureno Cristiano Ronaldo amebakiza mabao matano kufikia rekodi ya Gwiji wa soka wa zamani wa timu ya taifa ya Iran Ali Dael ya ufungaji bora wa muda wote kwa upande wa timu za taifa.

Ronaldo

Dael ndio mchezaji anaeongoza kufunga mabao mengi kwa upande wa timu za taifa kwenye michezo rasmi akiwa amefunga jumla ya mabao 109 akiwa na timu ya taifa ya Iran katika michezo 149, ambapo aliichezea timu yake ya taifa kuanzia mwaka 1993 mpaka 2006.

Jana Usiku katika mchezo wa kirafiki kati ya timu ya taifa ya Ureno na Israel Cristiano Ronaldo alifunga bao moja kwenye ushindi wa mabao 4-0 ambao Ureno waliupata, bao hilo limemfanya CR7 kufikishe idadi ya mabao 104 katika michezo 175, hivyo yamesalia mabao matano kuifikia rekodi ya Dael.

Ronaldo bado ananafasi ya kuongeza idadi ya mabao, kwani yupo kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Ureno kilichopo kwenye michouano ya Euro na wao ndio mabingwa watetezi. Na wataanza kibarua cha kuutetea ubingwa Juni 15 dhidi Hungary, wamepangwa wapo kundi F sambamba na mataifa ya Ujerumani na Ufaransa.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali