Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ronaldo aweka rekodi nyingine Juventus

Jumanne , 17th Jul , 2018

Christiano Ronaldo ameweka rekodi nyingine kubwa kwenye siku ya kwanza ya utambulisho katika klabu yake mpya ya Juventus ya Italia.

Cristiano Ronaldo kwenye utambulisho wake ndani ya Juventus.

Katika utambulisho rasmi uliotanguliwa na vipimo vya Afya ambao uliofanyika Jumatatu, Julai 16, Ronaldo aliweka historia kwa klabu hiyo ya kuwa mchezaji aliyeuza jezi nyingi kwa siku moja  baada ya klabu kuuza jezi 520,000 ambazo zimeiingizia klabu kiasi cha dolla millioni 60 zaidi ya shilingi billioni 136.

Idadi hiyo ya jezi ya Ronaldo iliyouzwa ni pungufu ya jezi 330,000 kuweza kuifikia idadi ya mauzo ya jezi ya msimu mzima wa 2016/17 ya mabingwa hao wa Italia.

“Najiona niko imara, kwangu hii ni changamoto nyingine. Ligi ni ngumu lakini kwakuwa Juventus wako tayari, na mimi nitakuwa tayari. Umri wangu si kitu muhimu, najiskia vizuri na niko tayari kwa kuianza kazi “. Alisema Ronaldo katika utambulisho wake.

Baadhi ya mashabiki wa Juventus wakionesha jezi ya Ronaldo.

Ronaldo alisajiliwa na klabu ya Juventus wiki iliyopita kwa dau la £105 milioni ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 317 kutoka Real Madrid kwa mkataba wa miaka minne, mkataba ambao utamfanya kuingiza kiasi cha Euro millioni 30 kwa mwaka.

Ujio wa Ronaldo katika klabu ya Juventus umeongeza umaarufu wa klabu na ligi ya Serie A, duniani ambapo baada tu ya Juventus kuthibitisha usajili wake iliongeza wafuasi wa mitandao ya kijamii zaidi ya million 1.5.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa