Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ronaldo hakamatiki, kafunga mabao 801

Ijumaa , 3rd Dec , 2021

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha idadi ya mabao 800 kwenye michezo rasmi kwa ngazi ya klabu na timu ya taifa.

Cristiano Ronaldo

Ronaldo amefikia rekodi hiyo baada ya kufunga mabao mawili kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Arsenal, mchezo ambao Manchester United iliibuka na ushindi wa mabao 3-2. Mabao hayo mawili yamemfanya Ronaldo kufikisha mabao 801 na kuwa mchezaji wa kwanza kufanya hivyo katika historia ya mchezo huu pendwa.

Mchezaji huyo bora wa Dunia mara 5 amefunga idadai hiyo ya mabao akiwa na vilabu vinne tofauti pamoja na timu ya taifa ya Ureno. Katika mabao hayo amefunga mabao 130 akiwa na Manchester United ya England, mabao 450 akiwa na Real Madrid ya Hispania, mabao 101 akiwa na Juventes ya Italia na ameifungia timu yake ya taifa ya Ureno mabao 115.

Ronaldo mwenye umri wa miaka 36 msimu huu wa 2021-22 unaoendelea kwenye mashindano yote amefunga mabao 12 katika michezo 16 na mabao 6 kati ya hayo ni ya Ligi Kuu England (EPL).

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani