Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samatta kutua Lesotho kuipa nguvu Stars

Ijumaa , 16th Nov , 2018

Timu ya taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) imeondoka nchini Afrika Kusini leo kuelekea Lesotho ambako itacheza mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2019 dhidi ya Lesotho ambapo nahodha Mbwana Samatta ataungana na timu licha ya kuwa majeruhi.

Mbwana Samatta

Akiongea na www.eatv.tv mapema leo kabla ya timu kuondoka nchini humo, meneja wa timu hiyo Danny Msangi, amesema kikosi kipo tayari kwa mchezo huo na wachezaji wote wa kimataifa wameungana na timu isipokuwa nahodha Mbwana Samatta.

''Wachezaji wote wako vizuri isipokuwa Shomari Kapombe na Rashid Mandawa ambao watakosa mchezo huo kutokana na kuwa majeruhi lakini pia tunataraji nahodha Mbwana Samatta ataungana na timu nchini Lesotho akitokea Dar es salaam ambako alikwenda kutokana na matatizo ya kifamilia'', amesema Msangi.

Samatta ambaye alifunga bao la pili kwenye ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Cape Verde jijini Dar es salaam hatakuwa sehemu ya mchezo huo kutokana na kuwa na kadi mbili za njano.

Taifa Stars ina alama 5 kwenye nafasi ya pili Kundi L ikiwa nyuma ya Uganda yenye alama 10 na ikifuatiwa na Cape Verde ambao wapo katika nafasi ya 3 wakiwa na alama 4. Mchezo utapigwa Jumapili Uwanja wa Setsoto mjini Maseru kuanzia Saa 11:00 jioni.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali