Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sekunde 149 zaipeleka PSG nusu fainali

Alhamisi , 13th Aug , 2020

Klabu ya PSG ya Ufaransa imekata tiketi ya kucheza hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya UEFA Champions League kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1995.

Wachezaji wa PSG wakishangilia baada ya kufunga bao la pili na la ushindi dhidi ya Atalanta kwenye mchezo wa robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya wakiibuka na ushindi wa mabao 2-1

PSG chini ya kocha Thomas Tuchels ilifunga mabao mawili katika dakika za lala salama na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo wa robo fainali dhidi ya Atalanta BC ya Italia. Atalanta walikuwa wa kwanza kupata bao kipindi cha kwanza dakika ya 27 bao ambalo lilifungwa na Mario Pasalic ambalo lilikuwa ni mbao lake la 12 msimu huu kwenye michuano yote.

Mabao mawili ya PSG yalifungwa ndani ya Sekunde 149, Marquinhos aliisawazishia PSG dakika ya 89 na sekunde 35 na Choupo-Moting akafunga bao la ushindi katika dakika ya pili na sekunde 4  ndani ya dakika tatu za nyongeza zilizokuwa zimeongezwa na mwamuzi Anthony Taylor. hivyo PSG walifunga mabao hayo ndani ya sekunde 149.

Mabingwa hao wa ufaransa watacheza nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya kwa mara ya kwanza baada ya kipindi cha miaka 25. mara ya mwisho PSG kucheza mchezo wa nusu fainali ya michuano hii ilikuwa msimu wa 1994-95 chini ya kocha Luis Fernandez, ambapo waliminjyana na Ac Milan na walitolewa kwa kufungwa jumla ya mabao 3-0 kwenye mchezo wa mikondo miwili.

Katika Hatua ya nusu Fainali PSG watacheza na mshindi wa mchezo mwingine wa robo fainali kati ya RB Leipzing na Atletico Madrid itakaochezwa usiku wa leo.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa