Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serengeti Boys yaishushia mvua Shelisheli kwao

Jumamosi , 2nd Jul , 2016

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana ya Tanzania waliochini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys hii leo imefanikiwa kuiondosha Shelisheli katika mchezo wa marudiano kuwania tiketi ya kucheza fainali za mataifa ya Afrika kwa vijana AFCON U17

Serengeti Boys wakiwa katika moja ya mazoezi yao jijini Dar es Salaam kabla ya kwenda Shelisheli.

Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys imeshinda mabao 6-0 dhidi ya Shelisheli katika mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza kuwania tiketi ya kufuzu kwa fainali za vijana U17 Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Madagascar mchezo uliofanyika jioni ya leo Uwanja wa Stade Linite mjini Victoria.

Kwa matokeo hayo, Serengeti Boys inasonga mbele na kwenda raundi ya Pili na hatua ya mwisho ya mchujo kwa ushindi wa jumla wa mabao 9-0 baada ya wiki iliyopita kushinda 3-0 katika mchezo wa kwanza uliopigwa katika uwanja wa Taifa,jijini Dar es Salaam.

Serengeti Boys sasa itamenyana na Afrika Kusini, ikumbukwe hiyo ni kama marudio ya mchezo wa mwaka jana katika hatua hiyo hiyo, ambayo vijana wa Tanzania walitolewa.

Mashujaa wa Serengeti Boys katika mtanange huo ambao walipachika mabao hayo ya Serengeti hii leo nipamoja na Shaaban Zubeiry akifunga bao dakika ya saba, Mohammed Abdalah dakika ya 49, Hassan Juma ambaye alipachika mabao mawili dakika ya 47 na 75, Issa Makamba yeye akifunga kwa mkwaju wa penati kunako dakika ya 65 na msumali wa mwisho uligongelewa na Yohana Nkomola kunako dakika ya 90 na kufanya ubao wa matangazo kusomeka Serengeti Boys 6 wenyeji Shelisheli 0.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa