Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba kutwaa ubingwa kwa staili ya Liverpool?

Jumamosi , 27th Jun , 2020

Klabu ya Simba SC inaweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara (VPL) hii leo iwapo Azam FC itashindwa kupata alama tatu dhidi ya Biashara United kwenye mechi itakayopigwa jioni katika uwanja wa Karume mkoani Mara.

Wachezaji wa Simba na Liverpool

Mabingwa hao watetezi wanatarajiwa kucheza kesho dhidi ya Tanzania Prisons huko jijini Mbeya na mechi hiyo ndiyo imepewa nafasi kwa Simba kutwaa ubingwa hata Kama Azama itashinda katika mchezo wa leo.

Azam itaichelewesha Simba kutwaa ubingwa iwapo watashinda, kwani wakikusanya alama zote 21 kwenye mechi 7 zilizosalia watafikisha alama 79 wakati Simba akiwa na alama 78 hadi sasa.

Iwapo Azam ambao kwa sasa wana alama 58 wakafungwa au kupata sare na Biashara United, watakua na uwezo wa kufikisha alama 76 na 77 iwapo tu watashinda mechi 6 za mwisho zitakazosalia baada ya leo ambazo hazitoifikia Simba.

Mahesabu ya Leo ya Simba ni kama ilivyokua kwa Liverpool hapo juzi ambapo ilibidi iombee Chelsea ishinde mbele ya  Man City ambao ndio waliokua na uwezo wa kufikisha alama walizokua nazo, na kuichelewesha kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Uingereza. Hatimaye Chelsea ilishinda na Liverpool kutangazwa mabingwa.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa