Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Simba ni rahisi sana kuwapiga, subirini" - Zahera

Jumapili , 17th Feb , 2019

Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa licha ya timu yake kufungwa na watani wao Simba, itawapiga msimu ujao wakiwa wamejipanga kwakuwa Simba inacheza mpira wa kawaida.

Kocha Mwinyi Zahera (kushoto) na wachezaji wa Simba na Yanga (kulia)

Akizungumza baada ya mchezo huo uliopigwa katika uwanja wa taifa na kushuhudia Yanga ikifungwa bao 1-0, Zahera amesema kuwa Simba inacheza mpira wa kawaida sana na wao wakijipanga msimu ujao watawashangaza wapinzani wao.

"Tatizo lililotokea katika mchezo wa leo ni wachezaji wetu kukosa ubunifu, leo (jana) namna Simba inacheza ni rahisi sana kuwapiga lakini mwaka ujao timu nitakuwa nayo kwasababu wachezaji nilionao sasa hivi sio mimi niliyewachagua", amesema Zahera.

Pamoja na hayo, kocha Zahera amewapongeza Simba kwa mchezo huo na akikiri kuwa kiwango cha mchezaji mmoja mmoja cha wachezaji wake na wa Simba ni tofauti.

Simba imeshawasili mkoani Arusha tayari kwa maandalizi ya mchezo ujao wa ligi dhidi ya African Lyon utakaopigwa Februari 19 katika uwanja  wa Sheikh Amri Abeid, huku Yanga ikitarajia kusafiri hadi Jijini Mwanza kuvaana na Mbao FC.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa